0777-777-000

Oxford Soma Nasi Kiswahili Grade 2 Learner's Book

Buy Oxford Soma Nasi Kiswahili Grade 2 Learner's Book in [storefront]
Oxford Soma Nasi Kiswahili Grade 2 Learner's Book
Ksh ‍520‍
Buy
PRODUCTCODE_22614
Ksh ‍520‍
(Ksh ‍603‍ Inc VAT)

ISBN: 9780195746952

SKU: 2010127000727

 

Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiwiahili ni msururu wa vitabu vipya vitivyoandikwa kwa upekee iii kutosheleza mahitaji ya mtataa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza. kusoma no kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi utiopendekezwa, maaditi na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. Katika Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili, Kitabu cha Muranafunzl, Gredi 2, utapata:

 • mada zitizopangwa kwa kuzingatia mtataa mpya 
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika 
• mazoezi nje ya darosa iii kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughull za kijamii zinazokuza ujifunzaji 
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja 
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na watezi iii kuimarisha uwajibikaji 
• sehemu ya Tujifurahishe'inayolenga kuwasisimua wanafunzi wanopotumia lugha. 

 

No reviews found

Fast and high quality delivery

Our company makes delivery all over the country

Quality assurance and service

We offer only those goods, in which quality we are sure

Returns within 30 days

You have 30 days to test your purchase