0777-777-000

JKF Nyota ya Kiswahili Grade 2 Learner's Book

Buy JKF Nyota ya Kiswahili Grade 2 Learner's Book in [storefront]
JKF Nyota ya Kiswahili Grade 2 Learner's Book
Ksh ‍589‍
Buy
PRODUCTCODE_22600
Ksh ‍589‍
(Ksh ‍683‍ Inc VAT)

Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wo vitabu vya kiada kwa Gredi yo Pili. Kimeandikwo kuombotana no mtoloo mpyo. Kitobu hiki kimelenga kumwongoza mwonafunzi katika masomo yoke yo lugha ya Kiswahili kwa kutimiza moarubu yo mtolao wa kiwango husika. Ndani yoke mno mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yoo. Kimezingatia stadi zote zo kujifunza lugha, rani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungumza
(iii) Kusoma
(iv) Kuondika
(v) Msamiati

(vi) Sarufi

Mwanafunzi amepewa nafasi ya kujifunza mwenyewe kutokana na picha maridhawa, hadithi, mashairi na michezo murua. Ili kuzidisha hamasisho la ujifunzaji, mwongozo maalumu umeandaliwa iii kuwapa walimu mbinu thabiti za kuuchochea ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi. Ili kutathmini kiwango cha ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi kitabu hiki kimetoamazoezi ya kutosha yatakoyowowezesho kupato:
• Umilisi wa kimsingi
• Maadili ya kimsingi
• Uwezo wa kuyashughulikia masuala mtambuka

Zaidi ya hayo uchochezi huo huwafahamisha namna ya kulinganisha uhusiano wa modo watiyojifunza;

  • na masomo mengine
  • na shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji
  • na shughuli nyingine zilizoratibiwa za ujifunzaji

Kitabu hiki kimeandikwa na waandishi wenye tojiriba pevu. Womekomaa kwenye stadi ya uondishi wa vitabu vya kiado.

No reviews found

Fast and high quality delivery

Our company makes delivery all over the country

Quality assurance and service

We offer only those goods, in which quality we are sure

Returns within 30 days

You have 30 days to test your purchase